URUSI YAZIDI KUONGEZA NGUVU SYRIA.



URUSI YAZIDI KUONGEZA NGUVU SYRIA.

Haya ni magari ya Jeshi la Urusi ya kubeba na kurusha makombora aina ya S-400 Triumf ambayo yanapiga toka ardhini kwenda angani , hivi sasa yanaelekea huko Latakia , Syria katika kambi ya Jeshi la Urusi inayohusika na mashambulio dhidi ya makundi ya kigaidi huko Syria na Ira qi .

Urusi imefanya hivyo baada ya ndege yake aina ya Sukhoi Su-24 kutunguliwa na Uturuki juzi.
Mfumo huu wa makombora unauwezo wa kupambana na maadui 300 kwa wakati mmoja , Pia wanapeleka Makombora yanayoongozwa na meli yanayoitwa Moskva karibu na pwani ya Syria sehemu ambayo ni Karibu kabisa na Uturuki .