KATIBU MKUU KIONGOZI AAGIZA WATUMISHI WA UMMA WAVAE SARE.



























KATIBU MKUU KIONGOZI AAGIZA WATUMISHI WA UMMA WAVAE SARE.


Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue ameagiza watumishi umma kuvaa sare maalum wanapokuwa kazini, lengo kubwa wapate kujulikana kwa urais na wateja wao.