MAAFISA 50 WAPIGWA STOP KUSAFIRI



















KAZI INAENDELEA
--------------------------------------
Raisi Magufuli amezuia maafisa 50 waliokuwa wasafiri kwa ajili
ya kwenda kushirika kwenye ziara ya Jumuiya ya Madola.
Badala yake ameruhusu maafisa wanne tu na kuokoa jumla ya
sh milioni 700 ambazo zingetumika kulipia posho za safari na
kugharamia ticket za ndege.
Chanzo:Nipashe