BREAKING NEWZ, MAWAZO RUKSA KUAGWA.




Polisi waangukia meno ya mbele Mahakamani...wao na waliowatuma kuzuia Mawazo asiagwe!
Alphonce Mawazo ataagwa kishujaa Jijini Mwanza kama ilivyooangwa na familia na Chadema baada ya Mahakama kuridhika kuwa wanahaki ya Kikatiba kumuaga mpendwa wao. Polisi inajukumu la kulinda amani na utulivu wakati wa shughuli hiyo.