AGIZO LA RAIS LATEKELEZWA, VITANDA 500

Maagizo aliyotoa rais jana yatekelezwa leo,
Vitanda 500 na magodoro 500 vinashushwa Hospitali ya taifa muhimbili, hii ni baada ya rais kusema fedha zilizotengwa kwaajili ya sherehe jana Dodoma zitumike kwaajili ya kununua vitanda muhimbili.

REJEA HABARI HII.

Wabunge wamechangisha shilingi milioni 250 kutoka bank mbalimbali kwa ajili ya sherehe yao ya jana usiku.
Baada ya muheshimiwa Magufuli kupata habari hizo, akaagiza kwamba party ya leo usiku itumia shiling milioni kumi au kumi na tano tu. Pesa inayobakia ipelekwe Hospitali ya muhimbili ikanunue vitanda ili wagonjwa wasilale chini. Huu ni mwanzo mzuri, im begining to become proud of my president.