HUKUMU YA MAWAZO, MBOWE MPONGEZA JAJI.




HUKUMU YA MAWAZO, MBOWE MPONGEZA JAJI.
leo mahakama ya Tanzania imetenda haki kama ilivyo elezwa na mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Freeman Aikaeli Mbowe.
Ndugu wa mawazo, marafiki, na wanachama wwnzake wameruhusiwa kutoa heshima zao za mwisho kwa mawazo, katika uwanja ambao watakubalina kati ya CHADEMA, ndugu na polis.
Kwa kwa muda wa siku mbili sasa kumekuwa majibishano ya kisheria kati ya jeshi la polis na familia ya Mawzo iliyo wakilishwa na wakili Mallya, majibishano hayo yalitangiliwa na sinto fahamu ya namna ya kuagwa na kuzikwa kwa Mawazo baada ya jeshi la polis kuzuia mkusanyiko mkubwa wa watu kwa sababu ya tishio la kipindupindu.