MAGUFULI ABATILISHA HATI ZA UMILIKI WA ARDHI ZISIZO ENDELEZWA
















Taarifa inatolewa kwa umma kwamba, Miliki za viwanja na mashamba zilizoorodheshwa katika jedwali, zimebatilishwa kutokana na ukiukwaji wa kumiliki ardhi.

Inasemekana wale wote ambao wanamiliki viwanja kwa muda mrefu na hawajaviendeleza, kuna mpango wa kunyang'anywa. Taarifa hii inatolewa kwa mujibu wa fungu la 49(1) la sheria ya ardhi sura
 (113)