LOWASSA AWAPIGA CHENGA P0LISI.










LOWASSA AWAPIGA CHENGA P0LISI.

Hivi karibuni aliyekuwa mgombea wa UKAWA, Lowassa aliwaambia Polisi Jijini Mwanza kuwa Chadema haihitaji ulinzi wao kufanya matukio yake kuwa salama. Rekodi zote za vurugu huanzishwa na Polisi wenyewe...

Jana alithibitisha hilo mjini Kahama baada ya kuwapiga chenga ya mwili na kwenda hospitali bila escot yao kwake kama Waziri Mkuu mstaafu.

Baadae Polisi wakamfuatilia nyuma nyuma akiwa anarudi.. Msafara wake ukatoka nduki na kuwaacha maboya tena polisi hao.
***
Nipashe lina stori zaidi.